Mdogo mdogo: Idadi ya watalii yaimarika Tanzania

December 21, 2021 5:10 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Kama wewe ni miongoni mwa watu walioajiriwa katika sekta ya utalii, basi una kila sababu ya kutabasamu kwa sekta hiyo imeanza kuimarika nchini Tanzania. Hatua hiyo imetokana na kuongezeka kwa idadi ya watalii wanaotembelea vivutio mbalimbali baada ya ugonjwa wa Uviko-19 kudhibitiwa.

​

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV

Sakata bei ya mafuta kupanda latua BoT, Naibu Gavana atoa ufafanuzi

Sakata bei ya mafuta kupanda latua BoT, Naibu Gavana atoa ufafanuzi

Nukta TV

BoT yabakiza Riba ya Benki Kuu 5.75% kudhibiti mfumuko wa bei

BoT yabakiza Riba ya Benki Kuu 5.75% kudhibiti mfumuko wa bei

Nukta TV