Mdogo mdogo: Idadi ya watalii yaimarika Tanzania
December 21, 2021 5:10 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Kama wewe ni miongoni mwa watu walioajiriwa katika sekta ya utalii, basi una kila sababu ya kutabasamu kwa sekta hiyo imeanza kuimarika nchini Tanzania. Hatua hiyo imetokana na kuongezeka kwa idadi ya watalii wanaotembelea vivutio mbalimbali baada ya ugonjwa wa Uviko-19 kudhibitiwa.
​
Latest
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Vodacom Tanzania yamwaga Sh70 bilioni kuboresha M-Pesa
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
BoT yabakiza riba ya benki kuu 5.75% licha ya vita Mashariki ya Kati
1 week ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026