Yaliyomo mwongozo mpya kwa wasafiri Tanzania

December 31, 2021 4:52 am · Herimina
Share
Tweet
Copy Link

Dar es salaam. Hadi kufikia Desemba 30, visa vya Uviko-19 vimefikia milioni 228.8 kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani. Kutokana na kuongezeka kwa visa vya Uviko-19 duniani, Serikali ya Tanzania imetoa mwongozo awamu ya tisa kwa wasafiri wanaoingia nchini.

Mwongozo huo uliotolewa Desemba 24 mwaka huu unatoa maelekezo mbalimbali ikiwemo ujazaji wa fomu za taarifa za kiafya kwa wasafiri, ambazo zinapatikana tovuti za Wizara ya Afya Tanzania bara na Zanzibar.

Infografia ifuatayo inaeleza zaidi:

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
25 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
25 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wananchi kupima afya, kuacha uoga

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wananchi kupima afya, kuacha uoga

Nukta TV

Uwepo wa vifaa, madaktari uendane na huduma inayotakiwa

Uwepo wa vifaa, madaktari uendane na huduma inayotakiwa

Nukta TV

Rais Samia: Maradhi ya moyo, saratani kwa watoto yaongezeka Tanzania

Rais Samia: Maradhi ya moyo, saratani kwa watoto yaongezeka Tanzania

Nukta TV