Yaliyomo mwongozo mpya kwa wasafiri Tanzania
December 31, 2021 4:52 am ·
Herimina
Dar es salaam. Hadi kufikia Desemba 30, visa vya Uviko-19 vimefikia milioni 228.8 kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani. Kutokana na kuongezeka kwa visa vya Uviko-19 duniani, Serikali ya Tanzania imetoa mwongozo awamu ya tisa kwa wasafiri wanaoingia nchini.
Mwongozo huo uliotolewa Desemba 24 mwaka huu unatoa maelekezo mbalimbali ikiwemo ujazaji wa fomu za taarifa za kiafya kwa wasafiri, ambazo zinapatikana tovuti za Wizara ya Afya Tanzania bara na Zanzibar.
Infografia ifuatayo inaeleza zaidi:

Latest
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Vodacom Tanzania yamwaga Sh70 bilioni kuboresha M-Pesa
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
BoT yabakiza riba ya benki kuu 5.75% licha ya vita Mashariki ya Kati
1 week ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026