Zaidi ya nusu ya wakazi Maswa hawafamu hata mkutano mmoja wa kijiji uliofanyika 2021
February 23, 2022 7:43 am ·
Herimina
Dar es Salaam. Utafiti wa awali ngazi ya kaya Maswa uliofanywa na Shirika la Twaweza unabainisha kuwa watu saba kati ya 10 wilayani Maswa mkoani Simiyu hawafamu hata mkutano mmoja wa kijiji ulifanyika mwaka jana katika maeneo yao.
Sababu hiyo huwafanya kutokuhudhuri mikutano hiyo ambayo ni muhimu katika mipango ya maendeleo ya kijiji na maamuzi yanayohusu maisha yao.
Latest

5 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Chadema: Lissu amehamishiwa ukonga

5 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Jeshi la magereza lakanusha kutoa taarifa ya alipo Tundu Lissu

2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Mikopo bila maarifa: Mtego unaokwamisha maendeleo wanawake, vijana

2 days ago
·
Esau Ng'umbi
Tanzania kujibu mapigo Malawi, Afrika Kusini kuzuia mazao kuingia nchini kwao