Zaidi ya nusu ya wakazi Maswa hawafamu hata mkutano mmoja wa kijiji uliofanyika 2021
February 23, 2022 7:43 am ·
Herimina
Dar es Salaam. Utafiti wa awali ngazi ya kaya Maswa uliofanywa na Shirika la Twaweza unabainisha kuwa watu saba kati ya 10 wilayani Maswa mkoani Simiyu hawafamu hata mkutano mmoja wa kijiji ulifanyika mwaka jana katika maeneo yao.
Sababu hiyo huwafanya kutokuhudhuri mikutano hiyo ambayo ni muhimu katika mipango ya maendeleo ya kijiji na maamuzi yanayohusu maisha yao.

Latest
2 hours ago
·
Lucy Samson
Hizi ndio nchi 5 zenye idadi kubwa ya Simba Afrika
5 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Disemba 5, 2025
22 hours ago
·
Lucy Samson
Tanzania mwenyeji mkutano wa mabunge duniani 2026
2 days ago
·
Fatuma Hussein
DCEA yataifisha mali za Sh 3.3 bilioni za watuhumiwa biashara dawa za kulevya