Karibu theluthi moja ya Watanzania hukopa fedha kwa ajili mahitaji ya kujikimu

February 16, 2023 7:11 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Nchini Tanzania, karibu theluthi moja (asilimia 31.8) ya kaya zinachukua mkopo kwa ajili ya mahitaji ya kujikimu ikiwemo chakula na malazi.

Kwa mujibu wa ripoti ya Kufuatilia Hali ya Kaya Tanzania (NPS) ya mwaka 2020/21 iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), asilimia 26.4 walichukua mkopo kwa ajili ya kununua pembejeo za biashara.

“Mwenendo huu ni kweli kwa jinsia ya mkuu wa kaya, na matumizi sawa ya mkopo/mikopo iliyopokelewa na wote wawili kaya zinazoongozwa na wanawake na wanaume,” imeeleza ripoti hiyo.

Ni watu wachache sana nchini Tanzania (asilimia 0.5) wanatumia mkopo kwa ajili ya kununua mashine za kilimo. 

Wewe ukichukua mkopo unatumia kufanyia nini?

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Nukta TV

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Nukta TV

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Nukta TV