Muda sahihi wa kunawa, kutakasa mikono
December 13, 2021 9:29 am ·
Rodgers Raphael
- Inashauriwa kunawa mikono kila baada ya kushika sehemu isiyo salama.
- Pia, nawa mikono unapokwenda au unapotoka kwenye mikusanyiko.
Dar es Salaam. Kabla ya ugonjwa wa Uviko-19, huenda kunawa mikono kwa baadhi ya watu ilikuwa kabla na baada ya kula, kujisaidia au pale mtu anaposhika kitu kichafu.
Ujio wa ugonjwa huo umeongeza umuhimu wa kunawa mikono kwa sabuni na maji safi yanayotiririka au kujitakasa kwa kutumia vitakasa mikono.
Unafahamu muda sahihi wa kunawa mikono yako?
Latest
6 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka
