Epuka haya unapotumia kitakasa mikono

December 15, 2021 1:07 pm · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Kitakasa mikono kikitumika vyema, ni afua dhidi ya virusi vya Uviko-19.

Dar es Salaam. Kitakasa mikono (sanitizer) ni miongoni mwa afua za ugonjwa wa Corona (Covid-19) ikiwa kitatumika kwa usahihi.             Unashauriwa kupaka katika mikono yako mara kwa mara hasa unapogusa sehemu zinazoshikwa na watu wengi ikiwemo vitasa vya milango, lifti na ngazi za maghorofa. 

Hata hivyo, usipotumia kwa usahihi kitakasa mikono unaweza kupata madhara ya kiafya.               

Tumia dondoo hizi unapotumia afua hiyo dhidi ya Uviko-19:

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW