Kitaeleweka: Waraghbishi waingilia kati wananchi kushiriki mikutano ya vijiji

April 30, 2022 9:06 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Pangani. Miaka ya nyuma, mahudhurio katika mikutano ya maendeleo ya vijiji vya Wilaya ya Pangani mkoani Tanga yalikuwa hafifu, lakini baada ya waraghbishi kutoa hamasa kwa wananchi mambo yamebadilika.

Sasa mikutano hiyo inahudhuriwa kwa wingi huku wanaume kwa wanawake wakipata fursa ya kutoa maoni kuhusu maendeleo yao. Pia imekuwa njia nzuri ya kuibua na kutatua kero zao.

                       

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Nukta TV

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Nukta TV

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Nukta TV