Waliokula hela za ‘Plea Bargaining’ wachukuliwe hatua
February 2, 2023 1:09 pm ·
Lucy Samson
- Ameitaka Serikali kufanya upeleleze wakinakubaini waliohusika
Dar es Salaam.Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Anna Henga ameitaka Serikali kuwachukulia hatua wale wote waliohusika kwenye upotevu wa hela za ‘plea Bargaining’.
Henga aliyekuwa akiwasilisha mapendekezo ya kuboresha mfumo wa taasisi za haki jinai leo Februari 2, 2023 jijini Dar es Salaam ametaka mapendekezo ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Fedha za Serikali (CAG)kufanyiwa kazi
Similar News
ai.nukta.co.tz/discover →
/
5 Jun, 2026 · TZS
Masoko
ai.nukta.co.tz/finance →
5 Jun, 2026 · TZS
Market Movers
ai.nukta.co.tz/finance →5 Jun, 2026