Waliokula hela za ‘Plea Bargaining’ wachukuliwe hatua

February 2, 2023 1:09 pm · Lucy Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Ameitaka Serikali kufanya upeleleze wakinakubaini waliohusika

Dar es Salaam.Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Anna Henga ameitaka Serikali  kuwachukulia hatua wale wote waliohusika kwenye upotevu wa hela za ‘plea Bargaining’.

Henga aliyekuwa akiwasilisha mapendekezo ya kuboresha mfumo wa taasisi za haki jinai leo Februari 2, 2023 jijini Dar es Salaam ametaka mapendekezo ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Fedha za Serikali (CAG)kufanyiwa kazi

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
7 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
7 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV