Vyakula vinavyowafaa wanaosumbuliwa na vidonda vya tumbo

January 11, 2021 9:54 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na matunda na mboga za majani.
  • Bado unashauriwa kumuona daktari ili upate maelekezo sahihi zaidi.

Dar es Salaam. Vindonda vya tumbo (Ulcers) ni changamoto ya kiafya ambayo husababishwa na mambo mengi ikiwemo aina ya vyakula na baadhi ya dawa zinazotumiwa na watu mara kwa mara.

Matahalan, kwa mtu anayetumia pilipili, baadhi ya vinywaji kama kahawa bila ulinganifu, yupo katika hatari ya kusumbuliwa na ugonjwa huu.

Kwa mujibu wa Kathryn Watson anayeandikia tovuti ya afya ya Healthline, baadhi ya vyakula vinavyoweza kumsababishia mtu kupata vidonda vya tumbo ni pamoja na vyakula vilivyoshamiri viungo (spices), matumizi ya vyakula vya jamii ya malimao (citrous), pilipili na matumizi ya baadhi ya dawa zikiwemo ‘aspirin’ na ‘ibuprofen’.

Kwa mazingira ya Kitanzania, vyakula gani vitamsaidia mtu aliye na vidonda vya tumbo? Tazama video hii kujifunza:

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
16 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
17 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
17 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Magonjwa haya matano yanayoongoza kwa kuua watu duniani

Magonjwa haya matano yanayoongoza kwa kuua watu duniani

Nukta TV

Mambo yakuzingatia kabla ujawasha gari lako asubuhi

Mambo yakuzingatia kabla ujawasha gari lako asubuhi

Nukta TV

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Nukta TV