Vyakula vinavyowafaa wanaosumbuliwa na vidonda vya tumbo

January 11, 2021 9:54 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na matunda na mboga za majani.
  • Bado unashauriwa kumuona daktari ili upate maelekezo sahihi zaidi.

Dar es Salaam. Vindonda vya tumbo (Ulcers) ni changamoto ya kiafya ambayo husababishwa na mambo mengi ikiwemo aina ya vyakula na baadhi ya dawa zinazotumiwa na watu mara kwa mara.

Matahalan, kwa mtu anayetumia pilipili, baadhi ya vinywaji kama kahawa bila ulinganifu, yupo katika hatari ya kusumbuliwa na ugonjwa huu.

Kwa mujibu wa Kathryn Watson anayeandikia tovuti ya afya ya Healthline, baadhi ya vyakula vinavyoweza kumsababishia mtu kupata vidonda vya tumbo ni pamoja na vyakula vilivyoshamiri viungo (spices), matumizi ya vyakula vya jamii ya malimao (citrous), pilipili na matumizi ya baadhi ya dawa zikiwemo ‘aspirin’ na ‘ibuprofen’.

Kwa mazingira ya Kitanzania, vyakula gani vitamsaidia mtu aliye na vidonda vya tumbo? Tazama video hii kujifunza:

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwenendo wa deni la serikali

Mwenendo wa deni la serikali

Nukta TV

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Nukta TV

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Nukta TV