Viwango vya kubadili fedha Tanzania Julai 4, 2025
Viwango vya kubadilisha fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania kutoka Benki za CRDB na NMB unavyoweza kutumia katika shughuli zako za biashara leo Julai 4, 2025.
Viwango hivi, vinavyotarajiwa kubadilika kutokana na mwenendo wa soko wa kila siku, husaidia watumiaji wa sarafu za kigeni kufanya manunuzi ikiwemo kuingiza bidhaa kutoka nje ya nchi.
Kwa mujibu wa Benki ya NMB Shilingi ya Kenya inaendelea kuimarika kutoka Sh18.3 iliyokuwa ikinunuliwa Julai 2,2025 na kuuzwa kwa Sh24.3 leo inanunuliwa kwa Sh18.4 na kuuzwa kwa Sh166.
Hii ni sawa na kusema Shilingi hiyo imeongezeka mara sita zaidi ya gharama iliyokuwa ikinunuliwa awali.
