Viwango vya kubadili fedha Tanzania Agosti 25, 2025
August 25, 2025 11:44 am ·
Sauda Ndaza
Viwango vya kubadili fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania kutoka Benki za CRDB na NMB unavyoweza kutumia katika shughuli zako za biashara leo Agosti 25, 2025.
Viwango hivi, vinatarajiwa kubadilika kutokana na mwenendo wa soko wa kila siku, husaidia watumiaji wa sarafu za kigeni kufanya manunuzi ikiwemo kuingiza bidhaa kutoka nje ya nchi.

Latest

2 days ago
·
Fatuma Hussein
WHO: Watu zaidi ya milioni 300 duniani wanahitaji msaada wa afya ya akili

3 days ago
·
Lucy Samson
Wizara ya Elimu yatangaza ufadhili wa masomo Russia

3 days ago
·
Fatuma Hussein
Marekani yaiwekea Tanzania masharti dhamana ya viza

3 days ago
·
Lucy Samson
Habari za uzushi zinavyoweza kuathiri uchaguzi wa kidemokrasia