Vituo vinavyotoa chanjo ya Uviko-19 Mara

August 19, 2021 5:49 am · Clifford
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Bado hujapata chanjo na uko Mkoa wa Mara? Basi haujachelewa, Serikali imeweka vituo 22 katika Halmashauri zote saba za mkoa huo ili kutoa fursa kwa watu kuchanjwa.

Nenda kachanje ili ujikinge na ugonjwa wa Uviko-19. Kwa sasa, Tanzania inatumia chanjo aina ya Johnson & Johnson ambayo mtu anayechanjwa anapatiwa dozi moja tu. 

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW