Vituo vinavyotoa chanjo ya Uviko-19 Mara
August 19, 2021 5:49 am ·
Clifford
Dar es Salaam. Bado hujapata chanjo na uko Mkoa wa Mara? Basi haujachelewa, Serikali imeweka vituo 22 katika Halmashauri zote saba za mkoa huo ili kutoa fursa kwa watu kuchanjwa.
Nenda kachanje ili ujikinge na ugonjwa wa Uviko-19. Kwa sasa, Tanzania inatumia chanjo aina ya Johnson & Johnson ambayo mtu anayechanjwa anapatiwa dozi moja tu.

Latest
5 minutes ago
·
Kelvin Makwinya
Nukta Africa kuongoza mijadala ya AI, uandishi wa habari za takwimu Arusha
48 minutes ago
·
Kelvin Makwinya
TBL yatangaza gawio la Sh529 kwa hisa 2025
1 hour ago
·
Fatuma Hussein
Mkopo wa Sh53.09 bilioni ulivyokwamisha miradi ya maendeleo Wizara ya Madini
5 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Soko la fedha za kigeni laonyesha utulivu, Dola ya Marekani yabaki Sh2,650