Maeneo unayoweza kupata chanjo ya Uviko-19 ukiwa Mwanza
August 23, 2021 2:33 pm ·
Clifford
Dar es Salaam. Bado hujapata chanjo na uko Mkoa wa Mwanza? Basi haujachelewa, Serikali imeweka vituo 26 katika Halmashauri zote nane za mkoa huo ili kutoa fursa kwa watu kuchanjwa.
Nenda kachanje ili ujikinge na ugonjwa wa Uviko-19. Kwa sasa, Tanzania inatumia chanjo aina ya Johnson & Johnson ambayo mtu anayechanjwa anapatiwa dozi moja tu.

Latest
7 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka
