Fahamu Vituo vinavyotoa chanjo ya Uviko-19 Pwani
August 24, 2021 9:04 am ·
Clifford
Dar es Salaam. Bado hujapata chanjo na uko Mkoa wa Pwani? Basi haujachelewa, Serikali imeweka vituo 26 katika Halmashauri zote tisa za mkoa huo ili kutoa fursa kwa watu kuchanjwa.
Nenda kachanje ili ujikinge na ugonjwa wa Uviko-19. Kwa sasa, Tanzania inatumia chanjo aina ya Johnson & Johnson ambayo mtu anayechanjwa anapatiwa dozi moja tu.

Latest
7 minutes ago
·
Kelvin Makwinya
Nukta Africa kuongoza mijadala ya AI, uandishi wa habari za takwimu Arusha
49 minutes ago
·
Kelvin Makwinya
TBL yatangaza gawio la Sh529 kwa hisa 2025
1 hour ago
·
Fatuma Hussein
Mkopo wa Sh53.09 bilioni ulivyokwamisha miradi ya maendeleo Wizara ya Madini
5 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Soko la fedha za kigeni laonyesha utulivu, Dola ya Marekani yabaki Sh2,650