Fahamu Vituo vinavyotoa chanjo ya Uviko-19 Pwani

August 24, 2021 9:04 am · Clifford
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Bado hujapata chanjo na uko Mkoa wa Pwani? Basi haujachelewa, Serikali imeweka vituo 26 katika Halmashauri zote tisa za mkoa huo ili kutoa fursa kwa watu kuchanjwa.

Nenda kachanje ili ujikinge na ugonjwa wa Uviko-19. Kwa sasa, Tanzania inatumia chanjo aina ya Johnson & Johnson ambayo mtu anayechanjwa anapatiwa dozi moja tu.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW