Vituo vinavyotoa chanjo ya Uviko-19 Geita

August 16, 2021 8:10 am · Clifford
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Kama uko katika Mkoa wa Geita na una sifa za kupata chanjo ya Corona, Serikali imeweka vituo 18 katika Halmashauri zote sita za mkoa huo ili kutoa fursa kwa watu kuchanjwa.

Kumbuka chanjo husaidia kumkinga mtu na maambukizi ya ugonjwa wa Uviko-19. Kwa sasa, Tanzania inatumia chanjo aina ya Johnson & Johnson ambayo mtu anayechanjwa anapatiwa dozi moja tu.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW