Vituo vinavyotoa chanjo ya Corona Arusha

August 12, 2021 1:08 pm ยท Clifford
Share
Tweet
Copy Link

Bado unajiuliza ni wapi utapata chanjo ya Corona ukiwa mkoani Arusha?

Mkoa huo una vituo 18 vilivyopo katika Halmashauri za Wilaya sita ambapo unaweza kuchanjwa chanjo aina ya Johnson & Johnson ili kujikinga na Uviko-19.

Kufahamu vituo vinavyotoa chanjo ya Corona katika Mkoa wa Dar es Salaam, endelea kutufuatilia.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW