Vituo vinavyotoa chanjo ya Corona Arusha
August 12, 2021 1:08 pm ยท
Clifford
Bado unajiuliza ni wapi utapata chanjo ya Corona ukiwa mkoani Arusha?
Mkoa huo una vituo 18 vilivyopo katika Halmashauri za Wilaya sita ambapo unaweza kuchanjwa chanjo aina ya Johnson & Johnson ili kujikinga na Uviko-19.
Kufahamu vituo vinavyotoa chanjo ya Corona katika Mkoa wa Dar es Salaam, endelea kutufuatilia.
Latest
7 days ago
ยท
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
ยท
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
ยท
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
ยท
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa harakaย