Vituo vinavyotoa chanjo ya Corona Arusha
August 12, 2021 1:08 pm ·
Clifford
Bado unajiuliza ni wapi utapata chanjo ya Corona ukiwa mkoani Arusha?
Mkoa huo una vituo 18 vilivyopo katika Halmashauri za Wilaya sita ambapo unaweza kuchanjwa chanjo aina ya Johnson & Johnson ili kujikinga na Uviko-19.
Kufahamu vituo vinavyotoa chanjo ya Corona katika Mkoa wa Dar es Salaam, endelea kutufuatilia.