Vituo 27 vinavyotoa chanjo ya Uviko-19 mkoani Mtwara
August 21, 2021 6:13 am ·
Clifford
Dar es Salaam. Wewe ni miongoni mwa watu ambao wana mpango wa kupata chanjo lakini hujui ni wapi utachanjwa? Kama uko katika Mkoa wa Mtwara iwe mjini au vijijini na una sifa za kupata chanjo ya Corona, Serikali imeweka vituo 27 katika Halmashauri zote tisa za mkoa huo ili kutoa fursa kwa watu kuchanjwa.
Nenda kachanje ili uwe salama. Kumbuka chanjo husaidia kumkinga mtu na maambukizi ya ugonjwa wa Uviko-19. Kwa sasa, Tanzania inatumia chanjo aina ya Johnson & Johnson ambayo mtu anayechanjwa anapatiwa dozi moja tu.

Latest
7 minutes ago
·
Kelvin Makwinya
Nukta Africa kuongoza mijadala ya AI, uandishi wa habari za takwimu Arusha
50 minutes ago
·
Kelvin Makwinya
TBL yatangaza gawio la Sh529 kwa hisa 2025
1 hour ago
·
Fatuma Hussein
Mkopo wa Sh53.09 bilioni ulivyokwamisha miradi ya maendeleo Wizara ya Madini
5 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Soko la fedha za kigeni laonyesha utulivu, Dola ya Marekani yabaki Sh2,650