Unavyoweza kuepuka magonjwa ya ngozi

February 15, 2021 10:41 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni kwa kuepuka kuchangia nguo kwani yapo magonjwa yanayoambukizwa kutoka kwa mtu mmoja hadi kwa mwingine.
  • Pia unatakiwa kunywa maji ili kuipatia afya nzuri ngozi yako.

Dar es Salaam. Magonjwa ya ngozi huja kwa namna nyingi na hutofautiana kati ya mtu na mtu. Wapo ambao hupata muwasho, wapo ambao ngozi hubanduka na wapo wapatao mba.

Magonjwa hayo husababishwa na mengi lakini mara nyingi huwa ni mtindo maisha, lishe, mzio na kuambukizwa na wengine.

Mfano, kwa mtindo maisha, wapo watu ambao hushindwa kujikausha vyema wanapomaliza kuoga hasa sehemu za miguuni na sehemu za siri na hivyo kuishia kupata fangasi katika maeneo hayo.

Ili kuepukana na tatizo hilo katika ngozi yako, unaweza kuangazia baadhi ya suluhu hizi:

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
25 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
25 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Zungu: Kura zimepigwa , pesa ya Serikali imeruhusiwa kuanza sasa kuitumia

Zungu: Kura zimepigwa , pesa ya Serikali imeruhusiwa kuanza sasa kuitumia

Nukta TV

Bunge la Tanzania lapitisha ya Serikali kwa 97%

Bunge la Tanzania lapitisha ya Serikali kwa 97%

Nukta TV

Hawa hapa wabunge waliopiga kura ya hapana, kupitisha Bajeti ya Serikali

Hawa hapa wabunge waliopiga kura ya hapana, kupitisha Bajeti ya Serikali

Nukta TV