Unavyoweza kuepuka magonjwa ya ngozi

February 15, 2021 10:41 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni kwa kuepuka kuchangia nguo kwani yapo magonjwa yanayoambukizwa kutoka kwa mtu mmoja hadi kwa mwingine.
  • Pia unatakiwa kunywa maji ili kuipatia afya nzuri ngozi yako.

Dar es Salaam. Magonjwa ya ngozi huja kwa namna nyingi na hutofautiana kati ya mtu na mtu. Wapo ambao hupata muwasho, wapo ambao ngozi hubanduka na wapo wapatao mba.

Magonjwa hayo husababishwa na mengi lakini mara nyingi huwa ni mtindo maisha, lishe, mzio na kuambukizwa na wengine.

Mfano, kwa mtindo maisha, wapo watu ambao hushindwa kujikausha vyema wanapomaliza kuoga hasa sehemu za miguuni na sehemu za siri na hivyo kuishia kupata fangasi katika maeneo hayo.

Ili kuepukana na tatizo hilo katika ngozi yako, unaweza kuangazia baadhi ya suluhu hizi:

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
25 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
25 May, 2026
No active movers today
Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MIKOA 5 YA KIPOLISI INAYOONGOZA KWA MAKOSA BARABARANI

MIKOA 5 YA KIPOLISI INAYOONGOZA KWA MAKOSA BARABARANI

Nukta TV

SERIKALI YAKAMILISHA MAZUNGUMZO MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA

SERIKALI YAKAMILISHA MAZUNGUMZO MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA

Nukta TV

🔴LIVE: KAPINGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA 2026/2027 BUNGENI.

🔴LIVE: KAPINGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA 2026/2027 BUNGENI.

Nukta TV