VIDEO: Epuka fangasi sehemu za siri kwa kufanya haya

March 15, 2021 8:25 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuhakikisha sehemu zako za siri zinakuwa kavu mara zote.
  • Pia inashauriwa kubadilisha nguo zako za ndani kila siku na kuepuka kuvaa nguo zilizobana.

Dar es Salaam. Hakuna kitu ambacho kinampatia mtu hali ya kutokujiamini kama kuwa na fangasi mwilini kwani kero ya muwasho, harufu mbaya, ukavu wa ngozi na michubuko, siyo jambo rahisi kuvumilika. 

Hali huwa mbaya zaidi pale fangasi hao wanapohamia baadhi za sehemu za mwili ambazo huenda kuzitibu ikawa ni changamoto kwa kuwa mara nyingi sehemu hizo hufunikwa na nguo na hivyo kupata joto kwa urahisi ikiwemo sehemu za siri. 

Kwa mujibu wa tovuti ya healthline inayoozungumzia masuala ya afya, kupata fangasi sehemu za siri ni rahisi kwa sababu fangasi huhitaji maeneno yaliyo na joto na unyevu ili kuishi.

Mara nyingi maeneo ya ndani ya mapaja, sehemu za makalio na sehemu za siri ni maeneo yanayopata fangasi kwa urahisi.

Kuepukana na hali hiyo, inahitaji mtu kukausha sehemu zake za siri mara baada ya kuoga na pia inashauriwa kama mwili wako unatoa jasho kwa wingi, paka poda ya watoto ili kuepusha unyevu sehemu hizo:

Njia zingine ni zipi? Tazama video hii

                     

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Unaweza kusema ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia mafuta ya

Unaweza kusema ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia mafuta ya

Nukta TV

Neema Mohamed, Mkurugenzi wa Bone and Blood Foundation, ni shujaa wa ugonjwa wa selimundu Sickl

Neema Mohamed, Mkurugenzi wa Bone and Blood Foundation, ni shujaa wa ugonjwa wa selimundu Sickl

Nukta TV

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametua kwenye ardhi ya Urusi kwa ziara ya kitaifa ya siku

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametua kwenye ardhi ya Urusi kwa ziara ya kitaifa ya siku

Nukta TV