Tunayoyajua kuhusu shule 10 vinara kidato cha nne mwaka 2019

January 15, 2020 3:46 pm · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Hivi karibuni Katibu Mkuu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta), Dk Charles Msonde, alitangaza matokeo ya upimaji kitaifa darasa la nne, kidato cha pili na nne ya mitihani iliyofanyika  Novemba 2019. 

Matokeo ya kidato cha nne mwaka 2019 yanaonyesha kuwa ufaulu umeongezeka kidogo kwa asilimia 1.4 kutoka ule wa mwaka 2018 huku akizitaja shule10 bora kitaifa zikiongozwa na Kemebos na kufuatiwa na Shule ya St Francis Girls  ya Mbeya.

Licha ya kuzifahamu shule 10 vinara kidato cha nne mwaka 2019 zikiwemo nne za wasichana, kuna mengi ambayo hayakufahamika haraka kwa kuwa yalihitaji uchambuzi wa kina.

Haya ndiyo tunayojua kuhusu shule 10 bora kitaifa.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

Nukta TV

Top 10 ya magari yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Top 10 ya magari yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Nukta TV

SGR yaingizia Serikali Sh169.37 bilioni tangu kuanza kwa safari Juni 2024

SGR yaingizia Serikali Sh169.37 bilioni tangu kuanza kwa safari Juni 2024

Nukta TV