Tamisemi yatua kariakoo kukagua soko jipya kabla ya uzinduzi kesho

February 7, 2026 8:32 pm · Lucy Samson
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Prof Riziki Shemdoe leo Februari 7, 2026 amewasili jiji Dar es Salaam, kukagua maandalizi ya uzinduzi wa Soko jipya la Kariakoo. 

Akizungumza na waandishi habari Prof. Shemdoe amesema ameridhishwa na maandalizi yanayoendelea ya uzinduzi wa soko hilo na kuwataka wananchi wote wa jiji la Dar es Salaam kujitokeza kwenye hafla hiyo hapo kesho Februari 8, 2026, ambapo mgeni rasmi atakuwa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
7 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
7 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV