Tamisemi yatua kariakoo kukagua soko jipya kabla ya uzinduzi kesho
February 7, 2026 8:32 pm ·
Lucy Samson
Dar es Salaam. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Prof Riziki Shemdoe leo Februari 7, 2026 amewasili jiji Dar es Salaam, kukagua maandalizi ya uzinduzi wa Soko jipya la Kariakoo.
Akizungumza na waandishi habari Prof. Shemdoe amesema ameridhishwa na maandalizi yanayoendelea ya uzinduzi wa soko hilo na kuwataka wananchi wote wa jiji la Dar es Salaam kujitokeza kwenye hafla hiyo hapo kesho Februari 8, 2026, ambapo mgeni rasmi atakuwa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Latest
19 hours ago
·
Lucy Samson
Tanzania, Uganda kuimarisha ushirikiano maeneo ya kimkakati
2 days ago
·
Lucy Samson
Rais Samia afanya uteuzi, mabadiliko wizara mbili
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
BoT yatangaza mnada wa hadhara, fursa kwa Watanzania kununua vifaa kwa bei nafuu
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Youtube yaipiga chini Netflix, yavuna Sh154 trilioni mwaka 2025