Tamisemi yatua kariakoo kukagua soko jipya kabla ya uzinduzi kesho

February 7, 2026 8:32 pm · Lucy Samson
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Prof Riziki Shemdoe leo Februari 7, 2026 amewasili jiji Dar es Salaam, kukagua maandalizi ya uzinduzi wa Soko jipya la Kariakoo. 

Akizungumza na waandishi habari Prof. Shemdoe amesema ameridhishwa na maandalizi yanayoendelea ya uzinduzi wa soko hilo na kuwataka wananchi wote wa jiji la Dar es Salaam kujitokeza kwenye hafla hiyo hapo kesho Februari 8, 2026, ambapo mgeni rasmi atakuwa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

Nukta TV

Top 10 ya magari yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Top 10 ya magari yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Nukta TV

SGR yaingizia Serikali Sh169.37 bilioni tangu kuanza kwa safari Juni 2024

SGR yaingizia Serikali Sh169.37 bilioni tangu kuanza kwa safari Juni 2024

Nukta TV