Tamisemi yatua kariakoo kukagua soko jipya kabla ya uzinduzi kesho
February 7, 2026 8:32 pm ·
Lucy Samson
Dar es Salaam. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Prof Riziki Shemdoe leo Februari 7, 2026 amewasili jiji Dar es Salaam, kukagua maandalizi ya uzinduzi wa Soko jipya la Kariakoo.
Akizungumza na waandishi habari Prof. Shemdoe amesema ameridhishwa na maandalizi yanayoendelea ya uzinduzi wa soko hilo na kuwataka wananchi wote wa jiji la Dar es Salaam kujitokeza kwenye hafla hiyo hapo kesho Februari 8, 2026, ambapo mgeni rasmi atakuwa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Latest
21 hours ago
·
Fatuma Hussein
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni leo Mei 13, 2026
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Usafiri, bidhaa za vyakula vyapaisha mfumuko wa bei kwa asilimia 0.8 Tanzania
4 days ago
·
Fatuma Hussein
Wagonjwa wa afya akili waongezeka kwa asilimia 89, Serikali yaanika mikakati kuwakabili
7 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Mei 8