Kinachofuata baada ya kirusi kipya cha Corona

December 7, 2021 2:31 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Inashauriwa kuendelea kutoa taarifa za ugonjwa huo kwa mamlaka za afya.
  • Watanzania wanashauriwa kuendelea kuchukua tahadhari.

Dar es Salaam. Endapo wewe ni mfuatiliaji mzuri wa habari, utakuwa umeshasikia juu ya aina mpya ya kirusi cha corona kilichogundulika nchini Afrika Kusini.

Kirusi hicho kilichopewa jina la Omicron kimeripotiwa kwa mara ya kwanza Novemba 24 katika nchi hiyo, miezi kadhaa baada ya kirusi cha Delta kutangazwa kutoka nchi hiyo hiyo.

Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kirusi hicho kinasambaa kwa haraka hivyo kinaweza kuwa na madhara makubwa kwa binadamu.

WHO imeshauri mamlaka za afya katika nchi mbalimbali kuchukua hatua za haraka dhidi ya Omicron ikiwemo kutoa taarifa juu ya ripoti za maambukizi zinazohusiana na kirusi hicho huku wananchi wakitakiwa kuendelea kuchukua tahadhari zote.

                           

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
13 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
13 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

Nukta TV

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Nukta TV

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Nukta TV