Kinachofuata baada ya kirusi kipya cha Corona

December 7, 2021 2:31 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Inashauriwa kuendelea kutoa taarifa za ugonjwa huo kwa mamlaka za afya.
  • Watanzania wanashauriwa kuendelea kuchukua tahadhari.

Dar es Salaam. Endapo wewe ni mfuatiliaji mzuri wa habari, utakuwa umeshasikia juu ya aina mpya ya kirusi cha corona kilichogundulika nchini Afrika Kusini.

Kirusi hicho kilichopewa jina la Omicron kimeripotiwa kwa mara ya kwanza Novemba 24 katika nchi hiyo, miezi kadhaa baada ya kirusi cha Delta kutangazwa kutoka nchi hiyo hiyo.

Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kirusi hicho kinasambaa kwa haraka hivyo kinaweza kuwa na madhara makubwa kwa binadamu.

WHO imeshauri mamlaka za afya katika nchi mbalimbali kuchukua hatua za haraka dhidi ya Omicron ikiwemo kutoa taarifa juu ya ripoti za maambukizi zinazohusiana na kirusi hicho huku wananchi wakitakiwa kuendelea kuchukua tahadhari zote.

                           

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwenendo wa deni la serikali

Mwenendo wa deni la serikali

Nukta TV

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Nukta TV

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Nukta TV