Kinachofuata baada ya kirusi kipya cha Corona

December 7, 2021 2:31 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Inashauriwa kuendelea kutoa taarifa za ugonjwa huo kwa mamlaka za afya.
  • Watanzania wanashauriwa kuendelea kuchukua tahadhari.

Dar es Salaam. Endapo wewe ni mfuatiliaji mzuri wa habari, utakuwa umeshasikia juu ya aina mpya ya kirusi cha corona kilichogundulika nchini Afrika Kusini.

Kirusi hicho kilichopewa jina la Omicron kimeripotiwa kwa mara ya kwanza Novemba 24 katika nchi hiyo, miezi kadhaa baada ya kirusi cha Delta kutangazwa kutoka nchi hiyo hiyo.

Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kirusi hicho kinasambaa kwa haraka hivyo kinaweza kuwa na madhara makubwa kwa binadamu.

WHO imeshauri mamlaka za afya katika nchi mbalimbali kuchukua hatua za haraka dhidi ya Omicron ikiwemo kutoa taarifa juu ya ripoti za maambukizi zinazohusiana na kirusi hicho huku wananchi wakitakiwa kuendelea kuchukua tahadhari zote.

                           

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV