Nchi zenye kiwango kikubwa cha ukosefu wa ajira duniani

September 16, 2021 2:10 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Orodha inaongozwa na Afrika Kusini.
  • Kati ya nchi 10 kwenye orodha, nne zipo barani Afrika.

Dar es Salaam. Ukosefu wa ajira ni tatizo kwa nchi nyingi duniani. Ongezeko la watu, mdororo wa kiuchumi, ukuaji wa teknolojia na sayansi ni baadhi ya sababu zinazochochea ukosefu wa ajira.

Shirika la Habari la Bloomberg, hadi kufikia robo ya pili ya mwaka 2021, imezitaja nchi 10 ikiwemo Afrika Kusini zilizokuwa na kiwango kikubwa cha watu wasio na ajira duniani.

Nchini Afrika Kusini, watu watatu kati ya 10 nchini humo hawana ajira.

Nchi gani nyingine zilizoingia kwenye orodha hii?

                          

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
16 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
16 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Nukta TV

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Nukta TV

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Nukta TV