Nchi zenye kiwango kikubwa cha ukosefu wa ajira duniani

September 16, 2021 2:10 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Orodha inaongozwa na Afrika Kusini.
  • Kati ya nchi 10 kwenye orodha, nne zipo barani Afrika.

Dar es Salaam. Ukosefu wa ajira ni tatizo kwa nchi nyingi duniani. Ongezeko la watu, mdororo wa kiuchumi, ukuaji wa teknolojia na sayansi ni baadhi ya sababu zinazochochea ukosefu wa ajira.

Shirika la Habari la Bloomberg, hadi kufikia robo ya pili ya mwaka 2021, imezitaja nchi 10 ikiwemo Afrika Kusini zilizokuwa na kiwango kikubwa cha watu wasio na ajira duniani.

Nchini Afrika Kusini, watu watatu kati ya 10 nchini humo hawana ajira.

Nchi gani nyingine zilizoingia kwenye orodha hii?

                          

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW