Nape: Tumepanua uhuru wa vyombo vya habari Tanzania

May 2, 2022 7:58 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema tangu Rais Samia Suluhu Hassan aingie madarakani amepanua uhuru wa vyombo vya habari Tanzania, jambo linalotoa fursa kwa waandishi kutekeleza majukumu yao kwa kujiamini.

Kuelekea Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Mei 3, 2022, Waziri Nape amesema wataitumia siku hiyo kufanya tathmini ya hatua zilizopigwa katika kuongeza uhuru wa kujieleza nchini hasa unahusu vyombo vya habari.

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Nukta TV

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Nukta TV

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Nukta TV