Mbowe kugombea tena uenyekiti Chadema

December 21, 2024 2:26 pm · Lucy Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Asema hawezi kung’atuka wakati chama hicho kikiwa kwenye mivutano.

Arusha. Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe amesema atagombea tena uenyekiti wa chama hicho kwa kuwa bado kipo kwenye mivutano.

Mbowe ametoa uamuzi huo leo Disemba 21, 2024 alipokuwa akizungumza na wanachama pamoja na viongozi wa chama hicho nyumbani kwake Mikocheni jijini Dar es Salaam.

“Nimetafakari kwa kina sana, nilitamani kuondoka lakini siwezi kuondoka katikati ya mivutano iliyopo, kwahiyo chadema nipo nitakuwepo. Nitagombea,” amesema Mbowe. 

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
13 Jun, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
14 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
14 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

Nukta TV

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Nukta TV

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Nukta TV