Mbowe kugombea tena uenyekiti Chadema

December 21, 2024 2:26 pm · Lucy Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Asema hawezi kung’atuka wakati chama hicho kikiwa kwenye mivutano.

Arusha. Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe amesema atagombea tena uenyekiti wa chama hicho kwa kuwa bado kipo kwenye mivutano.

Mbowe ametoa uamuzi huo leo Disemba 21, 2024 alipokuwa akizungumza na wanachama pamoja na viongozi wa chama hicho nyumbani kwake Mikocheni jijini Dar es Salaam.

“Nimetafakari kwa kina sana, nilitamani kuondoka lakini siwezi kuondoka katikati ya mivutano iliyopo, kwahiyo chadema nipo nitakuwepo. Nitagombea,” amesema Mbowe. 

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Nukta TV

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Nukta TV

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Nukta TV