Mbowe kugombea tena uenyekiti Chadema
December 21, 2024 2:26 pm ·
Lucy Samson
- Asema hawezi kung’atuka wakati chama hicho kikiwa kwenye mivutano.
Arusha. Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe amesema atagombea tena uenyekiti wa chama hicho kwa kuwa bado kipo kwenye mivutano.
Mbowe ametoa uamuzi huo leo Disemba 21, 2024 alipokuwa akizungumza na wanachama pamoja na viongozi wa chama hicho nyumbani kwake Mikocheni jijini Dar es Salaam.
“Nimetafakari kwa kina sana, nilitamani kuondoka lakini siwezi kuondoka katikati ya mivutano iliyopo, kwahiyo chadema nipo nitakuwepo. Nitagombea,” amesema Mbowe.
Latest
5 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka