Mambo yatakayosaidia kampuni chipukizi wakati wa Uviko-19
November 5, 2021 6:53 am ·
Herimina
- Ni pamoja na punguzo la kodi kwa kampuni hizo.
- Utoaji wa mikopo yenye masharti nafuu.
Dar es Salaam. Kutokana na janga la Uviko-19 kuathiri utendaji wa kampuni zinazochipukia (startups) nchini, hatua muhimu zinahitajika kufanyika ili kuzisaidia kampuni hizo kukua na kuimarika tena.
Hatua hizo ni pamoja na utoaji wa mikopo yenye masharti nafuu kwa kampuni chipukizi ili ziweze kupata mitaji ya kuendeleza biashara zao wakati wa Uviko-19.
Vilevile, kupunguzwa kwa kodi ili kuzipa uhueni kampuni hizo kutokana na mwenendo usioridhisha wa biashara.

Latest
7 days ago
·
Kelvin Makwinya
Vodacom Tanzania yamwaga Sh70 bilioni kuboresha M-Pesa
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
BoT yabakiza riba ya benki kuu 5.75% licha ya vita Mashariki ya Kati
1 week ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
