Mambo yatakayosaidia kampuni chipukizi wakati wa Uviko-19

November 5, 2021 6:53 am · Herimina
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na punguzo la kodi kwa kampuni hizo.
  • Utoaji wa mikopo yenye masharti nafuu.

Dar es Salaam. Kutokana na janga la Uviko-19 kuathiri utendaji wa kampuni zinazochipukia (startups) nchini, hatua muhimu zinahitajika kufanyika ili kuzisaidia kampuni hizo kukua na kuimarika tena.

Hatua hizo ni pamoja na utoaji wa mikopo yenye masharti nafuu kwa kampuni chipukizi ili ziweze kupata mitaji ya kuendeleza biashara zao wakati wa Uviko-19.

Vilevile, kupunguzwa kwa kodi ili kuzipa uhueni kampuni hizo kutokana na mwenendo usioridhisha wa biashara.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwenendo wa deni la serikali

Mwenendo wa deni la serikali

Nukta TV

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Nukta TV

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Nukta TV