Mambo yatakayosaidia kampuni chipukizi wakati wa Uviko-19

November 5, 2021 6:53 am · Herimina
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na punguzo la kodi kwa kampuni hizo.
  • Utoaji wa mikopo yenye masharti nafuu.

Dar es Salaam. Kutokana na janga la Uviko-19 kuathiri utendaji wa kampuni zinazochipukia (startups) nchini, hatua muhimu zinahitajika kufanyika ili kuzisaidia kampuni hizo kukua na kuimarika tena.

Hatua hizo ni pamoja na utoaji wa mikopo yenye masharti nafuu kwa kampuni chipukizi ili ziweze kupata mitaji ya kuendeleza biashara zao wakati wa Uviko-19.

Vilevile, kupunguzwa kwa kodi ili kuzipa uhueni kampuni hizo kutokana na mwenendo usioridhisha wa biashara.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV

Sakata bei ya mafuta kupanda latua BoT, Naibu Gavana atoa ufafanuzi

Sakata bei ya mafuta kupanda latua BoT, Naibu Gavana atoa ufafanuzi

Nukta TV

BoT yabakiza Riba ya Benki Kuu 5.75% kudhibiti mfumuko wa bei

BoT yabakiza Riba ya Benki Kuu 5.75% kudhibiti mfumuko wa bei

Nukta TV