Mambo ya kuepuka siku ya kupiga kura
October 26, 2020 1:46 pm ·
Mwandishi
- Ni pamoja na kufanya kampeni ya aina yoyote siku hiyo.
- Usivae sare au kutumia alama za chama cha siasa.
- Hauruhusiwi kukaa kwenye kituo baada ya kupiga kura.
Dar es Salaam. Bila shaka unafahamu kuwa imebaki siku moja tu kufika Oktoba 28, tarehe ambayo inampatia haki kila Mtanzania aliyejiandikisha kupiga kura kumchagua Rais, Mbunge na Diwani amtakaye.
Ili kuepuka usumbufu, unatakiwa kuepuka baadhi ya mambo ikiwemo kuvaa sare za chama, kutumia alama za chama na hata kuimba nyimbo za chama kwani vyama vyote vilitakiwa kufanya hayo wakati wa kampeni.
Je, ni mambo gani mengine unayotakiwa kuyaepuka siku ya kupiga kura? Tazama video hii kufahamu zaidi.
Latest
12 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Nchi 10 zilizoongoza kwa uwekezaji (FDI) Tanzania 2024
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Brela yatangaza mfumo mpya utoaji huduma leseni kundi ‘A’
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Nukta Africa kuzindua Nukta AI, siku ya uhuru wa vyombo vya habari
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Tume ya Chande yapendekeza katiba mpya kabla ya 2028