Live: Safari ya mwisho ya Hayati John Magufuli

March 26, 2021 6:40 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Baada ya kuishi miaka zaidi ya 61 ulimwenguni, John Magufuli, Rais wa tano wa Tanzania atakuwa akipumzishwa katika makazi yake ya milele katika makaburi ya familia huko Chato mkoani Geita leo alasiri.

Hayati Rais Magufuli alifariki dunia Machi 17 mwaka huu jijini Dar es Salaam katika hospitali ya Mzena alipokuwa akipatiwa matibabu ya maradhi ya moyo.

Misa ya kumuombea Hayati Rais Magufuli, inayofanyika katika kiwanja cha Magufuli mjini Chato, inaongozwa na Askofu Mkuu, Gervas Nyaisonga, Rais wa Baraza la Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC).

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Nukta TV

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Nukta TV

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Nukta TV