Live: Safari ya mwisho ya Hayati John Magufuli

March 26, 2021 6:40 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Baada ya kuishi miaka zaidi ya 61 ulimwenguni, John Magufuli, Rais wa tano wa Tanzania atakuwa akipumzishwa katika makazi yake ya milele katika makaburi ya familia huko Chato mkoani Geita leo alasiri.

Hayati Rais Magufuli alifariki dunia Machi 17 mwaka huu jijini Dar es Salaam katika hospitali ya Mzena alipokuwa akipatiwa matibabu ya maradhi ya moyo.

Misa ya kumuombea Hayati Rais Magufuli, inayofanyika katika kiwanja cha Magufuli mjini Chato, inaongozwa na Askofu Mkuu, Gervas Nyaisonga, Rais wa Baraza la Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC).

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
13 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
13 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

Nukta TV

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Nukta TV

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Nukta TV