Live: Safari ya mwisho ya Hayati John Magufuli
March 26, 2021 6:40 am ยท
Mwandishi
Dar es Salaam. Baada ya kuishi miaka zaidi ya 61 ulimwenguni, John Magufuli, Rais wa tano wa Tanzania atakuwa akipumzishwa katika makazi yake ya milele katika makaburi ya familia huko Chato mkoani Geita leo alasiri.
Hayati Rais Magufuli alifariki dunia Machi 17 mwaka huu jijini Dar es Salaam katika hospitali ya Mzena alipokuwa akipatiwa matibabu ya maradhi ya moyo.
Misa ya kumuombea Hayati Rais Magufuli, inayofanyika katika kiwanja cha Magufuli mjini Chato, inaongozwa na Askofu Mkuu, Gervas Nyaisonga, Rais wa Baraza la Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC).
Latest
5 days ago
ยท
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
ยท
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
ยท
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
ยท
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa harakaย
