Kicheko, maumivu: Hotuba ya Rais Samia mei mosi katika namba

May 1, 2021 12:42 pm · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Leo Mei Mosi ni Siku ya Wafanyakazi Duniani ambapo kitaifa imefanyika mkoani Mwanza na kuhudhuriwa na wafanyakazi na viongozi mbalimbali wa Serikali na taasisi binafsi.

Rais Samia Suluhu Hassan ndiye aliyekuwa mgeni rasmi. Amezungumza mambo mbalimbali kuhusu kuboresha maslahi ya wafanyakazi wa umma na binafsi ikiwemo kupunguza kodi ya mshahara hadi kufikia asilimia nane kutoka asilimia tisa.

Hata hivyo, ameahidi kupandisha mishahara ya wafanyakazi mwakani baada ya ugonjwa wa corona kuathiri kasi ya ukuaji wa uchumi Tanzania. Yapo mengi aliyozungumza katika hotuba yake, tazama infografia hii

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
8 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
8 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Ulinzi waimarishwa Dar, maduka yachelewa kufunguliwa

Ulinzi waimarishwa Dar, maduka yachelewa kufunguliwa

Nukta TV

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV