Jinsi mabadiliko ya tabianchi yanavyoigharimu Tanzania

February 22, 2022 10:24 am · Herimina
Share
Tweet
Copy Link
  • Takriban trilioni 1.2 zinahitajika kwa mwaka ili kupunguza  athari za mabadiliko ya tabianchi.

Dar es Salaam. Tanzania ni moja ya nchi nyingi duniani zinazokumbana na athari za mabadiliko ya tabianchi ikiwemo kuongezeka kwa joto pamoja na kupungua kwa mvua.

Hali hiyo ambayo inaendelea kutishia maisha ya viumbe hai duniani, imesababisha kuongezeka kwa gharama za kitaifa hasa katika harakati za kukabiliana na athari zake.

Kwa mujibu wa Ripoti ya 3 ya Hali ya Mazingira Tanzania (2019) iliyotolea na Ofisi ya Makamu wa Rais, inaonesha kuwa mabadiliko ya tabianchi yanaigharimu Tanzania takriban asilimia 1 ya pato la Taifa, kiwango ambacho kinakadiriwa kitaongezeka hadi asilimia 2 ifikapo mwaka 2030.

Jambo la hatari zaidi ni kuwa joto linatarajiwa kuongezeka kati ya juzijoto 1 hadi 2 ifikapo 2030 na kusababisha ongezeko la magonjwa kikiwemo kipindupindu, hivyo kuweka rehani maisha wananchi, hatua zisipochukuliwa.


Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

Nukta TV

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Nukta TV

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.