Infografia: Kwa nini unasisitizwa kuvaa barakoa?

December 28, 2021 1:34 pm · Herimina
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Virusi vya Corona husambaa kupitia maji maji yanayotoka wakati wa kuongea, kukohoa au kupiga chafya, endapo mtu au watu wapo karibu na anaeyatoa.

 Hivyo uvaaji wa barakoa husaidia kuzuia maji maji hayo kuwafikia wengine kwa urahisi na kupunguza maambukizi ya Uviko-19 baina ya watu kwa asilimia 80.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW