Infografia: Kwa nini unasisitizwa kuvaa barakoa?

December 28, 2021 1:34 pm · Herimina
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Virusi vya Corona husambaa kupitia maji maji yanayotoka wakati wa kuongea, kukohoa au kupiga chafya, endapo mtu au watu wapo karibu na anaeyatoa.

 Hivyo uvaaji wa barakoa husaidia kuzuia maji maji hayo kuwafikia wengine kwa urahisi na kupunguza maambukizi ya Uviko-19 baina ya watu kwa asilimia 80.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: ULEGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI BUNGENI

🔴LIVE: ULEGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI BUNGENI

Nukta TV

🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA ULINZI NA IKISOMWA BUNGENI

🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA ULINZI NA IKISOMWA BUNGENI

Nukta TV

Fahamu kuhusu Virusi vya ‘Hantavirus’ na nini chanzo chake ?

Fahamu kuhusu Virusi vya ‘Hantavirus’ na nini chanzo chake ?

Nukta TV