Infografia: Kwa nini unasisitizwa kuvaa barakoa?
December 28, 2021 1:34 pm ·
Herimina
Dar es Salaam. Virusi vya Corona husambaa kupitia maji maji yanayotoka wakati wa kuongea, kukohoa au kupiga chafya, endapo mtu au watu wapo karibu na anaeyatoa.
Hivyo uvaaji wa barakoa husaidia kuzuia maji maji hayo kuwafikia wengine kwa urahisi na kupunguza maambukizi ya Uviko-19 baina ya watu kwa asilimia 80.

Similar News
ai.nukta.co.tz/discover →
/
20 May, 2026 · TZS
Masoko
ai.nukta.co.tz/finance →
21 May, 2026 · TZS
Market Movers
ai.nukta.co.tz/finance →21 May, 2026