Infografia: Kwa nini unasisitizwa kuvaa barakoa?
December 28, 2021 1:34 pm ·
Herimina
Dar es Salaam. Virusi vya Corona husambaa kupitia maji maji yanayotoka wakati wa kuongea, kukohoa au kupiga chafya, endapo mtu au watu wapo karibu na anaeyatoa.
Hivyo uvaaji wa barakoa husaidia kuzuia maji maji hayo kuwafikia wengine kwa urahisi na kupunguza maambukizi ya Uviko-19 baina ya watu kwa asilimia 80.

Latest
7 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka