Hii ndiyo tiba sahihi ya magonjwa ya moyo

December 14, 2020 6:40 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kufanya mazoezi walau mara tatu kwa wiki.
  • Pia kuwa mwangalifu na chakula na vinywaji unavyotumia kila siku.
  • Endapo uzito wako umepitiliza, jitahidi kuupunguza kwa kufuata ushauri wa waaalamu.

Dar es Salaam. Ugonjwa wa moyo ni kati ya maradhi yanayowasumbua watu wengi duniani. 

Sababu kubwa inayotajwa kusababisha matatizo ya moyo ni mtindo mbaya wa maisha ikiwemo ulaji wa chakula usiozingatia kanuni bora za lishe.

Yapo baadhi ya mambo ambayo ukifanya yatakusaidia kuepuka changamoto za kiafya kwenye kiungo hicho muhimu mwilini ikiwemo kufanya mazoezi na kuepuka unywaji wa pombe uliopitiliza. 

Je, ni mambo gani mengine ya kuzingatia ili kuepukana na maradhi ya moyo? Video hii inakufahamisha zaidi.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
12 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
13 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
13 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Jinsi ya kufanya maombi ya chuo 2026/2027

Jinsi ya kufanya maombi ya chuo 2026/2027

Nukta TV

Hawa ndio wanasoka 5 wanaoingiza mkwanja mrefu zaidi duniani

Hawa ndio wanasoka 5 wanaoingiza mkwanja mrefu zaidi duniani

Nukta TV

130 wakamatwa kwa tuhuma za kupanga na kuhamasisha uhalifu Tanzania

130 wakamatwa kwa tuhuma za kupanga na kuhamasisha uhalifu Tanzania

Nukta TV