Hifadhi ya chakula yaongezeka Tanzania
November 16, 2020 10:48 am ·
Nuzulack Dausen
- Ni ile inayohifadhiwa katika Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) ambayo imefikia tani 109,733 kwa mwaka ulioishia Septemba 2020.
Dar es Salaam. Benki ya Tanzania (BoT) katika ripoti ya mapitio ya uchumi ya Oktoba 2020 imeeleza kuwa akiba ya chakula kwenye maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) kwa mwaka ilioishia Septemba 2020 imefikia tani 109,733.
Hifadhi hiyo ndiyo kiwango kikubwa kuwahi kurekodiwa ndani ya miaka mitano iliyopita kwa mwaka unaoishia Septemba.

Similar News
ai.nukta.co.tz/discover →
/
9 Jun, 2026 · TZS
Masoko
ai.nukta.co.tz/finance →
10 Jun, 2026 · TZS
Market Movers
ai.nukta.co.tz/finance →10 Jun, 2026