Fahamu mishahara mipya ya wafanyakazi wa ndani, hotelini

December 6, 2022 2:51 pm · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar Dar es Salaam. Serikali imetangaza viwango vipya vya kima cha chini cha mishahara kwa wafanyakazi wa ndani na hotelini ambavyo vitaanza kutumika Januari 1, 2023.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi,  Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Profesa Joyce Ndalichako katika tangazo lilitolewa katika Gazeti la Serikali, amesema viwango hivyo ni kwa sekta binafsi. 

Viwango hivyo vitawanufaisha zaidi wafanyakazi wa kazi za ndani wale wasioajiriwa na wanadiplomasia, wafanyabiashara wakubwa na maafisa wenye stahiki ambapo watakuwa wanalipwa Sh60,000 kwa mwezi kuanzia mwaka ujao. 

Kiwango hicho kimeongezeka kutoka Sh40,000 waliyokuwa wakilipwa hapo awali kwa mujibu wa Takwimu muhimu za Tanzania za mwaka 2018 zilizotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS).

Wafanyakazi wa ndani wanaoilipwa kima cha chini cha mshahara cha juu kuliko wengine ni wale wafanyakazi wa kazi za ndani walioajiriwa na wanadiplomasia na wafanya biashara wakubwa. Kwa mujibu wa tangazo hilo watalipwa Sh250,000. 

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
WAMESANUKA, mbinu mpya ya usafirishaji wa dawa za kulevya yafichuliwa

WAMESANUKA, mbinu mpya ya usafirishaji wa dawa za kulevya yafichuliwa

Nukta TV

CCM yatoa ratiba maombi ya kumrithi Lukuvi, Israel, Lebanon wakisitisha mapigano

CCM yatoa ratiba maombi ya kumrithi Lukuvi, Israel, Lebanon wakisitisha mapigano

Nukta TV

Ridhiwani: Serikali inalenga kuacha tabasamu kwa watumishi wa Umma

Ridhiwani: Serikali inalenga kuacha tabasamu kwa watumishi wa Umma

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.