Chanjo ya Corona yazidi kupata muitikio mkubwa duniani
March 29, 2021 10:26 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Wakati Corona ikiendelea kuitesa dunia, juhudi mbalimbali za kupambana na ugonjwa huo zinaendelea duniani ikiwemo usambazaji wa chanjo dhdi ya ugonjwa huo.
Kwa sasa chanjo zinazoongoza kutumiwa zaidi na nchi mbalimbali duniani ni Pfizer/BoiNTech na Oxford/AstraZenaca.

Similar News
ai.nukta.co.tz/discover →
/
10 Jun, 2026 · TZS
Masoko
ai.nukta.co.tz/finance →
10 Jun, 2026 · TZS
Market Movers
ai.nukta.co.tz/finance →10 Jun, 2026