Chanjo ya Corona yazidi kupata muitikio mkubwa duniani
March 29, 2021 10:26 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Wakati Corona ikiendelea kuitesa dunia, juhudi mbalimbali za kupambana na ugonjwa huo zinaendelea duniani ikiwemo usambazaji wa chanjo dhdi ya ugonjwa huo.
Kwa sasa chanjo zinazoongoza kutumiwa zaidi na nchi mbalimbali duniani ni Pfizer/BoiNTech na Oxford/AstraZenaca.

Latest
12 hours ago
·
Fatuma Hussein
Mwigulu alaani vitendo vvya uvunjifu wa amani
12 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Jeshi la Polisi lapiga marufuku maandamano ya Disemba 9
13 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Balozi 16 za EU zalaani yaliyotokea Oktoba 29
14 hours ago
·
Fatuma Hussein
Malaria bado ni tishio duniani, maambukizi yaongezeka