CAG katika namba: Matumizi, mapato ya Air Tanzania juu

April 21, 2021 6:10 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imebaini kuwa Shirika la Ndege la Tanzania (Air Tanzania) lilipata hasara ya Sh60 bilioni katika mwaka wa fedha wa 2019/20 na kwamba kwa miaka mitano iliyopita pia halikuweza kupata faida yeyote.

Hata hivyo, mapato na matumizi ya shirika hilo yamekuwa yakiongezeka  katika kipindi hicho cha miaka mitano.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW