Viwango vya kubadili fedha za kigeni leo Oktoba 21, 2024
Viwango vya kubadilisha fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na CRDB unavyoweza kutumia katika shughuli zako za biashara leo Oktoba 21, 2024.
Viwango hivi, vinavyobadilika kutokana na mwenendo wa soko, pia husaidia watumiaji wa sarafu za kigeni kufanya manunuzi ikiwemo kuingiza bidhaa na huduma kutoka nje ya nchi, kulipia ada za wanafunzi, kulipia pesa za matibabu kwa wagonjwa walioko nje ya nchi ama kumtumia ndugu, jamaa na rafiki pesa ya matumizi.
