Viwango vya kubadili fedha za kigeni leo Octoba 1, 2024
October 1, 2024 10:33 am ·
Yuster Massawe
Kwa mujibu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT )Dola ya Marekani imepanda kwa senti 25 kutoka 2,677 iliyokuwepo tarehe 24 septemba mwaka huu mpaka 2,702 inayouzwa hii leo.

Latest
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Vodacom Tanzania yamwaga Sh70 bilioni kuboresha M-Pesa
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
BoT yabakiza riba ya benki kuu 5.75% licha ya vita Mashariki ya Kati
2 weeks ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026