Viwango vya kubadili fedha za kigeni leo Oktoba 8, 2024
October 8, 2024 9:29 am ยท
Fatuma Hussein
Kwa mujibu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Dola ya Marekani leo imepanda kwa senti 1.38 kutoka 2732.59 iliyokuwepo Oktoba 7 mwaka huu mpaka 2,733.97 inayouzwa hii leo.
Viwango hivi, vinabadilika kutokana na mwenendo wa soko, pia husaidia watumiaji wa sarafu za kigeni kufanya manunuzi ikiwemo kuingiza bidhaa na huduma kutoka nje ya nchi.

Latest
5 days ago
ยท
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
ยท
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
ยท
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
ยท
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa harakaย