Chanjo ya Uviko-19 Afrika Mashariki bado ngoma ngumu

September 6, 2022 11:50 am · admin
Share
Tweet
Copy Link
  • Tanzania yawa kinara kwa kuchanja watu wengi. 
  • Kongo DRC, Burundi na Sudani kusini zasua sua. 

Dar es salaam. Janga la Uviko-19 bado limeendelea kuitesa dunia licha ya juhudi mbalimbali kukabiliana nalo. 

Shirika la Afya Duniani (WHO) limeeleza kuwa hivi sasa jumla ya visa milioni 600.3 vya maambukizi ya Uviko-19  na vifo milioni 6.4 vimeripotiwa duniani kote.

Wakati bara la Afrika likifikisha jumla ya maambukizi milioni 9.2 bado juhudi za kutoa chanjo hazijawa za dhati katika baadhi ya mataifa yakiwemo ya ukanda wa Afrika Mashariki.

Kwa mujibu wa data zilizochapishwa na WHO hadi Septemba 6 mwaka huu, Tanzania ndio nchi iliyokuwa imechanja watu wengi zaidi kulinganisha na nchi nyingine za ukanda huo ambapo jumla ya watu milioni 17.3 wamechanjwa.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
28 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
29 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
29 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Jinsi afya ya akili inavyowatesa wanawake makazini

Jinsi afya ya akili inavyowatesa wanawake makazini

Nukta TV

Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Nukta TV

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Nukta TV