Mbuga za wanyama, fukwe vinara kutembelewa na watalii Tanzania
March 9, 2019 9:51 am ·
Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
Ripoti ya utafiti wa wageni wa nje ya nchi mwaka 2017 (International Visitors’ Exit Survey Report 2017) inaonyesha kuwa maeneo hayo mawili yanachukua asilimia 58.2 ya maeneo yote yaliyotembelewa na watalii nchini mwaka 2017.
Maeneo mengi ambayo yanatambelewa na watalii ni pamoja na maeneo ya utamaduni, mikutano, ndugu na marafiki.
Latest
2 days ago
·
Yuster Massawe
Bei ya maharage haishikiki mkoani Dar es Salaam
2 days ago
·
Davis Matambo
Rais Samia aitaka tume kuleta viwango halali vya kodi Tanzania
2 days ago
·
Yuster Massawe
Pedi za kufua zinavyosaidia kupunguza uchafuzi mazingira
2 days ago
·
Fatuma Hussein
TMA yatahadharisha upepo mkali Pwani, Ziwa Nyasa