Shule 10 zilizoshika mkia matokeo darasa la saba mwaka 2019

October 26, 2019 6:33 am · TULINAGWE ALSON
Share
Tweet
Copy Link
  • Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kumaliza elimu ya msingi mwaka 2019 na kuitaja Shule ya Msingi Mhezi iliyopo mkoa wa Tanga kushika mkia kitaifa.

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kumaliza elimu ya msingi mwaka 2019 na kuitaja Shule ya Msingi Mhezi iliyopo mkoa wa Tanga kushika mkia kitaifa.

Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde amesema kwa ujumla ufaulu umeongezeka kwa asililia 3.78 ikilinganishwa na mwaka jana huku asilimia 81.5 ya watahiniwa 933,369 waliofanya mtihani huo wamefaulu.

Shule zingine tisa zilizoungana na Mhezi katika kundi la shule 10 zilizofanya vibaya mwaka huu ni pamoja na Tandari ya Morogoro, Mgata (Morogoro), Nyachiro(Morogoro) na Mbwei (Tanga). Necta imezitaja shule hizo katika takwimu za matokeo ya mtihani huo kwa shule zenye wanafunzi 40 au zaidi. 

Nyingine ni Kilole (Tanga), Lesoit (Manyara), Lumba(Morogoro), Msansao (Singida) na Kishangazi ya mkoani Tanga. 

Mikoa ya Morogoro na Tanga imetoa shule nne kila moja huku Singida na Manyara zikitoa shule moja moja.  

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
16 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
16 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwenendo wa deni la serikali

Mwenendo wa deni la serikali

Nukta TV

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Nukta TV

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Nukta TV