Tunayoyajua kuhusu shule 10 vinara kidato cha nne mwaka 2019

January 15, 2020 3:46 pm · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Hivi karibuni Katibu Mkuu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta), Dk Charles Msonde, alitangaza matokeo ya upimaji kitaifa darasa la nne, kidato cha pili na nne ya mitihani iliyofanyika  Novemba 2019. 

Matokeo ya kidato cha nne mwaka 2019 yanaonyesha kuwa ufaulu umeongezeka kidogo kwa asilimia 1.4 kutoka ule wa mwaka 2018 huku akizitaja shule10 bora kitaifa zikiongozwa na Kemebos na kufuatiwa na Shule ya St Francis Girls  ya Mbeya.

Licha ya kuzifahamu shule 10 vinara kidato cha nne mwaka 2019 zikiwemo nne za wasichana, kuna mengi ambayo hayakufahamika haraka kwa kuwa yalihitaji uchambuzi wa kina.

Haya ndiyo tunayojua kuhusu shule 10 bora kitaifa.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
16 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
16 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
16 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Magonjwa haya matano yanayoongoza kwa kuua watu duniani

Magonjwa haya matano yanayoongoza kwa kuua watu duniani

Nukta TV

Mambo yakuzingatia kabla ujawasha gari lako asubuhi

Mambo yakuzingatia kabla ujawasha gari lako asubuhi

Nukta TV

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Nukta TV