Ukweli kuhusu maiti kuambukiza Corona

June 19, 2020 5:52 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Hakuna ushahidi kuwa mwili wa mgonjwa wa Corona unaweza bado kueneza maambukizi saa mbili tangu kifo kilipotokea. 
  • Unashauriwa kuwasiliana na kituo cha kutolea huduma za afya na usioshe wala kuhifadhi mwili wa mtu aliyefariki kwa Corona nyumbani.

Dar es Salaam. Ugonjwa wa wa virusi vya Corona umeibua maswali mengi kwa watu hasa jinsi ya kujikinga huku wengine wakiamua kujipa majibu ya maswali yao na pengine bila kuwa na uhakika wa wanachokisema.

Kama wewe ni mtumiaji wa mitandao ya kijamii, huenda umewahi kukutana na kuziamini habari kuhusu miili ya watu waliofariki kwa COVID-19 inaweza kueneza ugonjwa huo baada ya saa mbili, basi fahamu kuwa umedanganywa.

Wazira ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto katika kituo chake cha mtandaoni cha taarifa za Corona imeeleza hakuna ushahidi kuwa mwili wa mgonjwa wa Corona unaweza bado kueneza maambukizi saa mbili tangu kifo kilipotokea. 


Zinazohusiana


Hata hivyo, wizara hiyo imeshauri watu kutokuhifadhi mwili wa mtu aliyefariki kwa ugonjwa wa Corona nyumbani wala kuuosha. 

Badalla yake, wawasiliane na wataalamu kwa ajili ya kupewa maelekezo muhimu.

“Usihifadhi mwili wa marehemu nyumbani, toa taarifa kituo cha kutolea huduma za afya kilichopo karibu. Pia Usiuguse wala kuosha mwili wa marehemu, Maziko yataratibiwa na wataalamu wa afya ili kuepuka maambukizi,” Imeeleza wizara hiyo.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
24 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
24 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Elimu ya kodi mwarobaini wa wafanyabiashara kuikwepa TRA, ianzie shuleni

Elimu ya kodi mwarobaini wa wafanyabiashara kuikwepa TRA, ianzie shuleni

Nukta TV

Rais Samia: Serikali chini ya Magufuli haikutaka kuyumbishwa kukamili kwa JNHPP

Rais Samia: Serikali chini ya Magufuli haikutaka kuyumbishwa kukamili kwa JNHPP

Nukta TV

Rais Samia: Umeme wa SGR hautoingiliwa, Dodoma umeme uhakika 24/7

Rais Samia: Umeme wa SGR hautoingiliwa, Dodoma umeme uhakika 24/7

Nukta TV