Hali halisi ya ugonjwa wa Corona Afrika Mashariki
April 8, 2021 8:37 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Hadi jana Aprili 7 watu zaidi ya 200,000 katika nchi za Afrika Mashariki walikuwa wameambukizwa ugonjwa wa Corona huku 3,067 kati yao wakifariki dunia.
Chukua tahadhari kujikinga na ugonjwa huo kwa kunawa mikono mara kwa mara, vaa barakoa na tumia tishu wakati wa kukohoa au kupiga chafya.

Latest
7 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka
