Ripoti ya CAG katika namba: Bandarini mambo si shwari

April 20, 2021 5:26 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa mwaka 2019/20 imeibua ubadhirifu mkubwa wa matumizi ya fedha katika Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) ukiwemo upotevu wa zaidi ya Sh3 bilioni.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW