Ripoti ya CAG katika namba: Hati mbaya kibarua kwa serikali za mitaa
April 22, 2021 6:55 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2019/20 imeibua mambo mbalimbali ikiwemo changamoto za matumizi ya fedha za umma kwenye halmashauri nchini.Â
Moja ya tatizo linalozikabili Halmashauri hizo ni kupata hati mbaya na zisizoridhisha kutokana na dosari za kimahesabu katika maeneo yao.Â
