Ripoti ya CAG katika namba: Hati mbaya kibarua kwa serikali za mitaa
April 22, 2021 6:55 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2019/20 imeibua mambo mbalimbali ikiwemo changamoto za matumizi ya fedha za umma kwenye halmashauri nchini.Â
Moja ya tatizo linalozikabili Halmashauri hizo ni kupata hati mbaya na zisizoridhisha kutokana na dosari za kimahesabu katika maeneo yao.Â

Latest
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
Vodacom Tanzania yamwaga Sh70 bilioni kuboresha M-Pesa
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
BoT yabakiza riba ya benki kuu 5.75% licha ya vita Mashariki ya Kati
2 weeks ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026