Ripoti ya CAG katika namba: Hati mbaya kibarua kwa serikali za mitaa

April 22, 2021 6:55 am · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2019/20 imeibua mambo mbalimbali ikiwemo changamoto za matumizi ya fedha za umma kwenye halmashauri nchini. 

Moja ya tatizo linalozikabili Halmashauri hizo ni kupata hati mbaya na zisizoridhisha kutokana na dosari za kimahesabu katika maeneo yao. 

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV