Chanjo zilizo mstari wa mbele kupambana na Corona duniani

June 23, 2021 12:42 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Zimetengenezwa nchi mbalmbali ikiwemo Marekani na Ujerumani.
  • Chanjo hizo zimetofautiana kiwango cha ufanisi wake katika kupambana na Covid-19.

Dar es Salaam. Utolewaji wa chanjo ya ugonjwa wa Corona ni kati ya sehemu ambazo zimekuwa na habari za uzushi katika mitandao ya kijamii.

Video, picha na sauti zimekuwa zikizunguka katika mitandao ya kijamii zikiongelea mazuri, mabaya na yasiyojulikana kuhusu chanjo ya ugonjwa wa Corona.

Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) limeainisha chanjo maarufu ambazo zimeidhinishwa kupambana na Corona na ambazo zimeanza kuleta matokeo mazuri licha ya kuwa maambukizi ya ugonjwa huo yanaongezeka kila siku.

Tazama video hii kuzifahamu chanjo hizo ikiwemo ya Oxford/AstraZeneca ambayo ndiyo inasambazwa katika maeneo mengi kupitia programu ya Umoja wa Mataifa ya COVAX. 

                   

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa kiwango cha biashara kati ya Tanzania na Sin

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa kiwango cha biashara kati ya Tanzania na Sin

Nukta TV

Mizinga ya heshima, Rais Samia akimpokea Rais wa Singapore, Ikulu Dar es Salaam

Mizinga ya heshima, Rais Samia akimpokea Rais wa Singapore, Ikulu Dar es Salaam

Nukta TV

Mikakati ya Serikali kuhakikisha walimu wa VETA wanapata ajira na mikopo

Mikakati ya Serikali kuhakikisha walimu wa VETA wanapata ajira na mikopo

Nukta TV